40 Kwa hiyo Musa akampa Makiri mwana wa Manase, Gileadi, akaanza kukaa katika eneo hilo.+41 Na Yairi mwana wa Manase akawashambulia wakaaji wa eneo hilo na kuteka vijiji vyao vya mahema, akaviita Hawoth-yairi.*+
14 “Yairi+ mwana wa Manase alichukua eneo lote la Argobu+ hadi kwenye mpaka wa Wageshuri na Wamaakathi,+ akaviita vijiji hivyo vya Bashani kwa jina lake mwenyewe, Hawoth-yairi,*+ mpaka leo.