Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 3:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kisha nusu ya kabila la Manase+ nimewapa sehemu inayobaki ya Gileadi na eneo lote la Bashani la ufalme wa Ogu. Eneo lote la Argobu, la Bashani, lilijulikana kuwa nchi ya Warefaimu.

  • Yoshua 13:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Na nusu ya eneo la Gileadi, na Ashtarothi na Edrei,+ majiji ya ufalme wa Ogu kule Bashani, yalichukuliwa na wana wa Makiri+ mwana wa Manase, yaani, nusu ya wana wa Makiri kulingana na koo zao.

  • Yoshua 17:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kisha watu wa kabila la Manase,+ mzaliwa wa kwanza wa Yosefu,+ wakagawiwa nchi yao kwa kura.+ Makiri,+ mzaliwa wa kwanza wa Manase na baba ya Gileadi, alikuwa amepewa nchi ya Gileadi na Bashani+ kwa sababu alikuwa mwanajeshi hodari.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki