Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 50:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Yosefu akaona kizazi cha tatu cha wana wa Efraimu,+ pia wana wa Makiri,+ mwana wa Manase. Walizaliwa kwenye magoti ya Yosefu.*

  • Hesabu 26:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Wana wa Manase+ walikuwa: kutoka kwa Makiri,+ ukoo wa Wamakiri; naye Makiri alikuwa baba ya Gileadi;+ kutoka kwa Gileadi, ukoo wa Wagileadi.

  • 1 Mambo ya Nyakati 7:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Wana wa Manase:+ Asrieli, aliyezaliwa na suria wake Msiria. (Suria huyo alimzaa Makiri+ baba ya Gileadi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki