Mwanzo 50:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Yosefu akaona kizazi cha tatu cha wana wa Efraimu,+ pia wana wa Makiri,+ mwana wa Manase. Walizaliwa kwenye magoti ya Yosefu.* Kumbukumbu la Torati 3:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Naye Makiri nimempa Gileadi.+ 1 Mambo ya Nyakati 7:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Wana wa Manase:+ Asrieli, aliyezaliwa na suria wake Msiria. (Suria huyo alimzaa Makiri+ baba ya Gileadi.
23 Yosefu akaona kizazi cha tatu cha wana wa Efraimu,+ pia wana wa Makiri,+ mwana wa Manase. Walizaliwa kwenye magoti ya Yosefu.*
14 Wana wa Manase:+ Asrieli, aliyezaliwa na suria wake Msiria. (Suria huyo alimzaa Makiri+ baba ya Gileadi.