Hesabu 32:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Wana wa Makiri+ mwana wa Manase walishambulia eneo la Gileadi, wakaliteka, na kuwafukuza Waamori waliokaa humo. Yoshua 17:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kisha watu wa kabila la Manase,+ mzaliwa wa kwanza wa Yosefu,+ wakagawiwa nchi yao kwa kura.+ Makiri,+ mzaliwa wa kwanza wa Manase na baba ya Gileadi, alikuwa amepewa nchi ya Gileadi na Bashani+ kwa sababu alikuwa mwanajeshi hodari.
39 Wana wa Makiri+ mwana wa Manase walishambulia eneo la Gileadi, wakaliteka, na kuwafukuza Waamori waliokaa humo.
17 Kisha watu wa kabila la Manase,+ mzaliwa wa kwanza wa Yosefu,+ wakagawiwa nchi yao kwa kura.+ Makiri,+ mzaliwa wa kwanza wa Manase na baba ya Gileadi, alikuwa amepewa nchi ya Gileadi na Bashani+ kwa sababu alikuwa mwanajeshi hodari.