Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 25:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Yehova akamwambia: “Mataifa mawili yamo tumboni mwako,+ na mataifa mawili yatatenganishwa kutoka ndani yako;+ na taifa moja litakuwa na nguvu kuliko lingine,+ na mkubwa atamtumikia mdogo.”+

  • Mwanzo 25:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Kisha ndugu yake akatoka na mkono wake ulikuwa umeshika kisigino cha Esau,+ kwa hiyo akampa jina Yakobo.*+ Isaka alikuwa na umri wa miaka 60 Rebeka alipowazaa.

  • Mwanzo 27:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Mataifa na yakutumikie, mataifa na yainame chini mbele yako. Uwe bwana juu ya ndugu zako, na wana wa mama yako na wainame chini mbele yako.+ Alaaniwe kila mtu anayekulaani, na abarikiwe kila mtu anayekubariki.”+

  • Mwanzo 27:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Lakini Isaka akamjibu Esau: “Tazama, nimemweka awe bwana juu yako,+ nami nimempa ndugu zake wote wawe watumishi wake, nami nimempa nafaka na divai mpya ili kumtegemeza.+ Mwanangu, ni nini kilichobaki ninachoweza kukufanyia?”

  • Hesabu 24:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na Edomu itamilikiwa,+

      Naam, Seiri+ itamilikiwa na maadui wake,+

      Huku Israeli ikidhihirisha ujasiri wake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki