Mwanzo 36:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa hiyo Esau akahamia eneo lenye milima la Seiri.+ Esau ndiye Edomu.+ Yoshua 24:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 naye Isaka nikampa Yakobo na Esau.+ Baadaye nikampa Esau Mlima Seiri ili aumiliki;+ na Yakobo na wanawe wakashuka Misri.+
4 naye Isaka nikampa Yakobo na Esau.+ Baadaye nikampa Esau Mlima Seiri ili aumiliki;+ na Yakobo na wanawe wakashuka Misri.+