11 ‘Siku hiyo nitakiinua kibanda cha Daudi+ kilichoanguka,
Nitarekebisha sehemu zilizoharibika,
Na kujenga upya magofu yake;
Nitakijenga upya kama kilivyokuwa siku za kale,+
12 Ili wamiliki sehemu zilizobaki za Edomu,+
Na mataifa yote yanayoitwa kwa jina langu,’ asema Yehova, anayefanya hayo.