-
Matendo 15:16-18Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
16 ‘Baada ya mambo hayo nitarudi na kuliinua tena hema la* Daudi ambalo limeanguka chini; nitayajenga upya magofu yake na kulirudisha tena, 17 ili watu wanaobaki wamtafute Yehova* kwa bidii, pamoja na watu wa mataifa yote, watu wanaoitwa kwa jina langu, asema Yehova,* anayefanya mambo haya,+ 18 yanayojulikana tangu zamani.’+
-