1 Wafalme 2:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Na sasa, kwa hakika kama Yehova anavyoishi, ambaye ameniimarisha kabisa+ na kuniketisha kwenye kiti cha ufalme cha Daudi baba yangu na kunijengea nyumba* kama alivyoahidi,+ Adoniya atauawa+ leo.” Zaburi 89:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 ‘Nitauimarisha kabisa uzao wako*+ milele,Nami nitakijenga kiti chako cha ufalme kwa vizazi vyote.’”+ (Sela)
24 Na sasa, kwa hakika kama Yehova anavyoishi, ambaye ameniimarisha kabisa+ na kuniketisha kwenye kiti cha ufalme cha Daudi baba yangu na kunijengea nyumba* kama alivyoahidi,+ Adoniya atauawa+ leo.”
4 ‘Nitauimarisha kabisa uzao wako*+ milele,Nami nitakijenga kiti chako cha ufalme kwa vizazi vyote.’”+ (Sela)