-
1 Wafalme 1:51, 52Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
51 Sulemani akaletewa habari hii: “Tazama! Adoniya anamwogopa Mfalme Sulemani; naye ameshika pembe za madhabahu, akisema, ‘Mfalme Sulemani na aniapie kwanza kwamba hataniua mimi mtumishi wake kwa upanga.’” 52 Ndipo Sulemani akasema: “Akitenda kwa njia inayofaa, hakuna unywele wake hata mmoja utakaoanguka ardhini; lakini akipatikana ametenda uovu,+ lazima afe.”
-