2 Samweli 7:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 tangu siku nilipowaweka waamuzi+ juu ya watu wangu Waisraeli. Nami nitakupumzisha kutokana na maadui wako wote.+ “‘“Pia, Yehova amekuambia kwamba Yehova atakujengea nyumba.*+ 1 Mambo ya Nyakati 17:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 tangu siku nilipowaweka waamuzi juu ya watu wangu Waisraeli.+ Nami nitawashinda maadui wako wote.+ Pia, ninakuambia, ‘Yehova atakujengea nyumba.’*
11 tangu siku nilipowaweka waamuzi+ juu ya watu wangu Waisraeli. Nami nitakupumzisha kutokana na maadui wako wote.+ “‘“Pia, Yehova amekuambia kwamba Yehova atakujengea nyumba.*+
10 tangu siku nilipowaweka waamuzi juu ya watu wangu Waisraeli.+ Nami nitawashinda maadui wako wote.+ Pia, ninakuambia, ‘Yehova atakujengea nyumba.’*