Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 24:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na Edomu itamilikiwa,+

      Naam, Seiri+ itamilikiwa na maadui wake,+

      Huku Israeli ikidhihirisha ujasiri wake.

  • Isaya 11:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Nao watashuka chini kwa ghafla kwenye miteremko ya* Wafilisti upande wa magharibi;

      Wakiwa pamoja watawapora watu wa Mashariki.

      Wataunyoosha mkono wao dhidi ya* Edomu+ na Moabu,+

      Na Waamoni watakuwa raia wao.+

  • Obadia 18, 19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Nyumba ya Yakobo itakuwa moto,

      Nyumba ya Yosefu itakuwa mwali wa moto,

      Na nyumba ya Esau itakuwa kama majani makavu;

      Watayachoma moto na kuyateketeza,

      Na hakuna atakayeokoka katika nyumba ya Esau,+

      Kwa maana Yehova mwenyewe amesema.

      19 Watamiliki Negebu na eneo lenye milima la Esau,+

      Shefela na nchi ya Wafilisti.+

      Watamiliki shamba la Efraimu na shamba la Samaria,+

      Na Benjamini atamiliki Gileadi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki