-
Obadia 18, 19Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
18 Nyumba ya Yakobo itakuwa moto,
Nyumba ya Yosefu itakuwa mwali wa moto,
Na nyumba ya Esau itakuwa kama majani makavu;
Watayachoma moto na kuyateketeza,
Na hakuna atakayeokoka katika nyumba ya Esau,+
Kwa maana Yehova mwenyewe amesema.
Watamiliki shamba la Efraimu na shamba la Samaria,+
Na Benjamini atamiliki Gileadi.
-