24 nayo hasira yangu itawaka kwelikweli,+ nami hakika nitawaua kwa upanga, na wake zenu watakuwa wajane, nao wana wenu watakuwa wavulana wasio na baba.+
18 Ninyi—ninyi mnageuka leo msimfuate Yehova; na itatukia kwamba ninyi, kwa upande wenu, mkimwasi Yehova leo, ndipo kesho atakuwa na ghadhabu juu ya kusanyiko lote la Israeli.+
5 Lakini kulingana na ugumu+ wako na moyo wako usiotubu+ unajiwekea mwenyewe akiba ya ghadhabu+ katika siku ya ghadhabu+ na ya kufunuliwa+ kwa hukumu ya uadilifu ya Mungu.+