-
2 Mambo ya Nyakati 28:13Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
13 wakawaambia: “Msiwalete mateka humu, kwa maana hilo litatufanya tuwe na hatia mbele za Yehova. Mnalokusudia kufanya litaongeza dhambi zetu na hatia yetu, kwa maana tayari tuna hatia kubwa na kuna hasira inayowaka dhidi ya Israeli.”
-