2 Mambo ya Nyakati 28:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 nao wakawaambia: “Msiingize mateka humu, kwa sababu tutakuwa na hatia juu ya Yehova. Mnafikiria kuziongeza dhambi zetu na hatia yetu, kwa maana sisi tuna hatia kubwa,+ na kuna hasira inayowaka+ juu ya Israeli.”
13 nao wakawaambia: “Msiingize mateka humu, kwa sababu tutakuwa na hatia juu ya Yehova. Mnafikiria kuziongeza dhambi zetu na hatia yetu, kwa maana sisi tuna hatia kubwa,+ na kuna hasira inayowaka+ juu ya Israeli.”