Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 30:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kwa maana wao ni watu waasi,+ wana wasiosema kweli,+ wana ambao hawataki kuisikia sheria ya Yehova;+

  • Isaya 59:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa maana mikono yenu imetiwa unajisi kwa damu,+ na vidole vyenu kwa kosa. Midomo yenu imesema uwongo.+ Ulimi wenu uliendelea kunong’ona ukosefu wa uadilifu.+

  • Hosea 11:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Efraimu amenizunguka kwa maneno ya uwongo,+ na nyumba ya Israeli kwa udanganyifu. Lakini Yuda bado anatembea pamoja na Mungu,+ naye ni mwaminifu kwa aliye Mtakatifu Zaidi.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki