15 “Na itatukia kwamba ikiwa hutasikiliza sauti ya Yehova Mungu wako kwa kuwa mwangalifu kutenda amri yake yote na kanuni zake ninazokuamuru wewe leo, laana hizi zote zitakujia pia na kukufikia:+
23 Nao wakaingia na kuimiliki,+ lakini hawakuitii sauti yako, nao hawakutembea katika sheria yako.+ Mambo yote uliyowaamuru kufanya hawakuyafanya,+ hivi kwamba ukafanya msiba huu wote uwaangukie.+