Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 28:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “Na itatukia kwamba ikiwa hutasikiliza sauti ya Yehova Mungu wako kwa kuwa mwangalifu kutenda amri yake yote na kanuni zake ninazokuamuru wewe leo, laana hizi zote zitakujia pia na kukufikia:+

  • Yeremia 22:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Nilisema nawe wakati ulipokuwa huna wasiwasi.+ Ulisema, ‘Sitatii.’+ Hii imekuwa njia yako tangu ujana wako, kwa maana hukuitii sauti yangu.+

  • Yeremia 32:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Nao wakaingia na kuimiliki,+ lakini hawakuitii sauti yako, nao hawakutembea katika sheria yako.+ Mambo yote uliyowaamuru kufanya hawakuyafanya,+ hivi kwamba ukafanya msiba huu wote uwaangukie.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki