Nehemia 9:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 “Hata hivyo, wakakosa kutii,+ wakakuasi+ na kuzidi kutupa sheria yako nyuma ya migongo yao,+ wakawaua manabii wako mwenyewe,+ waliotoa ushahidi juu yao ili kuwarudisha kwako;+ nao wakaendelea kutenda matendo ya ukosefu mkubwa wa heshima.+ Danieli 9:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Nasi hatukutii sauti ya Yehova Mungu wetu, kwa kutembea katika sheria zake ambazo aliweka mbele yetu kwa mkono wa watumishi wake manabii.+
26 “Hata hivyo, wakakosa kutii,+ wakakuasi+ na kuzidi kutupa sheria yako nyuma ya migongo yao,+ wakawaua manabii wako mwenyewe,+ waliotoa ushahidi juu yao ili kuwarudisha kwako;+ nao wakaendelea kutenda matendo ya ukosefu mkubwa wa heshima.+
10 Nasi hatukutii sauti ya Yehova Mungu wetu, kwa kutembea katika sheria zake ambazo aliweka mbele yetu kwa mkono wa watumishi wake manabii.+