Yeremia 32:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Nao wakaingia na kuimiliki, lakini hawakuitii sauti yako wala kutembea katika sheria yako. Hawakufanya lolote kati ya mambo uliyowaamuru wafanye, hivi kwamba ukawaletea msiba huu wote.+
23 Nao wakaingia na kuimiliki, lakini hawakuitii sauti yako wala kutembea katika sheria yako. Hawakufanya lolote kati ya mambo uliyowaamuru wafanye, hivi kwamba ukawaletea msiba huu wote.+