Yeremia 32:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Nao wakaingia na kuimiliki,+ lakini hawakuitii sauti yako, nao hawakutembea katika sheria yako.+ Mambo yote uliyowaamuru kufanya hawakuyafanya,+ hivi kwamba ukafanya msiba huu wote uwaangukie.+
23 Nao wakaingia na kuimiliki,+ lakini hawakuitii sauti yako, nao hawakutembea katika sheria yako.+ Mambo yote uliyowaamuru kufanya hawakuyafanya,+ hivi kwamba ukafanya msiba huu wote uwaangukie.+