4 Kisha akaichukua dhahabu hiyo toka mikononi mwao, naye akaifanya+ kwa kifaa cha kuchongea na kuifanya kuwa sanamu ya kuyeyushwa ya ndama.+ Nao wakaanza kusema: “Huyu ndiye Mungu wako, Ee Israeli, aliyekuongoza kutoka nchi ya Misri.”+
18 Ndiyo, walipokuwa wamejitengenezea sanamu ya ndama+ ya kuyeyushwa na kuanza kusema, ‘Huyu ndiye Mungu wako aliyekuongoza kutoka Misri,’+ nao wakatenda matendo makubwa ya kukosa heshima,