Methali 14:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Yule ambaye si mwepesi wa hasira ana utambuzi mwingi,+ lakini anayekosa subira anainua upumbavu.+ Methali 22:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Usishirikiane na mtu yeyote mwenye mazoea ya kukasirika;+ wala usiende pamoja na mtu wa mifoko ya ghadhabu,
24 Usishirikiane na mtu yeyote mwenye mazoea ya kukasirika;+ wala usiende pamoja na mtu wa mifoko ya ghadhabu,