Esta 7:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Mfalme naye akasimama akiwa na ghadhabu+ akatoka kwenye karamu ya divai na kwenda katika bustani ya jumba la mfalme; Hamani naye akasimama kutoa ombi kwa Malkia Esta kwa ajili ya nafsi yake,+ maana aliona kuwa mfalme+ ameazimia mabaya+ juu yake. Mhubiri 4:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mtoto mwenye uhitaji lakini mwenye hekima+ ni afadhali kuliko mfalme mzee lakini mjinga,+ ambaye haoni tena haja ya kukubali onyo.+
7 Mfalme naye akasimama akiwa na ghadhabu+ akatoka kwenye karamu ya divai na kwenda katika bustani ya jumba la mfalme; Hamani naye akasimama kutoa ombi kwa Malkia Esta kwa ajili ya nafsi yake,+ maana aliona kuwa mfalme+ ameazimia mabaya+ juu yake.
13 Mtoto mwenye uhitaji lakini mwenye hekima+ ni afadhali kuliko mfalme mzee lakini mjinga,+ ambaye haoni tena haja ya kukubali onyo.+