1 Samweli 20:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yonathani akamwambia: “Ni jambo lisiloweza kuwaziwa kamwe!+ Hutakufa. Baba yangu hawezi kufanya jambo lolote, liwe kubwa au dogo, bila kuniambia. Kwa nini baba yangu anifiche jambo hilo? Hawezi kufanya hivyo.”
2 Yonathani akamwambia: “Ni jambo lisiloweza kuwaziwa kamwe!+ Hutakufa. Baba yangu hawezi kufanya jambo lolote, liwe kubwa au dogo, bila kuniambia. Kwa nini baba yangu anifiche jambo hilo? Hawezi kufanya hivyo.”