Methali 15:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ulimi wa watu wenye hekima hutenda mema kwa ujuzi,+ lakini kinywa cha wajinga hububujika upumbavu.+ Methali 21:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Mtu mwenye kujigamba aliye na kimbelembele na mwenye kujidai, ndilo jina la mtu mwenye ghadhabu ya kimbelembele.+ Waefeso 4:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Uchungu wote wenye uovu+ na hasira na ghadhabu na kupiga kelele na matukano+ na viondolewe mbali kutoka kwenu pamoja na ubaya wote.+
2 Ulimi wa watu wenye hekima hutenda mema kwa ujuzi,+ lakini kinywa cha wajinga hububujika upumbavu.+
24 Mtu mwenye kujigamba aliye na kimbelembele na mwenye kujidai, ndilo jina la mtu mwenye ghadhabu ya kimbelembele.+
31 Uchungu wote wenye uovu+ na hasira na ghadhabu na kupiga kelele na matukano+ na viondolewe mbali kutoka kwenu pamoja na ubaya wote.+