Mambo ya Walawi 11:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Basi kupitia kwao mtajifanya wenyewe msiwe safi. Kila mtu anayegusa mizoga yao atakuwa asiye safi mpaka jioni.+ Mambo ya Walawi 15:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na mtu ambaye atagusa kitanda chake atayafua mavazi yake, naye ataoga katika maji na kuwa asiye safi mpaka jioni.+ Mambo ya Walawi 15:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “‘Sasa, mwanamume akitokwa na shahawa,+ basi ataoga mwili wake wote katika maji na kuwa asiye safi mpaka jioni. Mambo ya Walawi 15:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “‘Naye mwanamke ambaye mwanamume atalala naye na kutokwa na shahawa, wataoga katika maji na kuwa wasio safi+ mpaka jioni. Hesabu 19:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na kila mtu ambaye huko shambani atagusa mtu aliyeuawa kwa upanga+ au maiti au mfupa+ wa mtu au kaburi atakuwa asiye safi siku saba.
24 Basi kupitia kwao mtajifanya wenyewe msiwe safi. Kila mtu anayegusa mizoga yao atakuwa asiye safi mpaka jioni.+
5 Na mtu ambaye atagusa kitanda chake atayafua mavazi yake, naye ataoga katika maji na kuwa asiye safi mpaka jioni.+
16 “‘Sasa, mwanamume akitokwa na shahawa,+ basi ataoga mwili wake wote katika maji na kuwa asiye safi mpaka jioni.
18 “‘Naye mwanamke ambaye mwanamume atalala naye na kutokwa na shahawa, wataoga katika maji na kuwa wasio safi+ mpaka jioni.
16 Na kila mtu ambaye huko shambani atagusa mtu aliyeuawa kwa upanga+ au maiti au mfupa+ wa mtu au kaburi atakuwa asiye safi siku saba.