Mambo ya Walawi 11:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Na kila mtu anayebeba wowote kati ya mizoga yao atayafua+ mavazi yake, naye atakuwa asiye safi mpaka jioni. Mambo ya Walawi 17:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Nayo nafsi yoyote itakayokula mwili uliokufa tayari au kitu kilichoraruliwa na mnyama-mwitu,+ awe ni mwenyeji au mkaaji mgeni, basi atayafua mavazi yake na kuoga katika maji na kuwa asiye safi+ mpaka jioni; naye atakuwa safi.
25 Na kila mtu anayebeba wowote kati ya mizoga yao atayafua+ mavazi yake, naye atakuwa asiye safi mpaka jioni.
15 Nayo nafsi yoyote itakayokula mwili uliokufa tayari au kitu kilichoraruliwa na mnyama-mwitu,+ awe ni mwenyeji au mkaaji mgeni, basi atayafua mavazi yake na kuoga katika maji na kuwa asiye safi+ mpaka jioni; naye atakuwa safi.