5 Ndipo Daudi akamwambia Yonathani: “Tazama! Kesho ni mwezi mpya,+ nami lazima niketi pamoja na mfalme kwenye mlo; nawe uniache niende, nami nitajificha+ shambani mpaka jioni siku ya tatu.
5 Na baadaye kulikuwa na toleo la kuteketezwa la daima+ na lile la miezi mipya+ na kwa ajili ya majira yote yaliyotakaswa ya sherehe+ za Yehova na kwa ajili ya kila mtu aliyetoa kwa kupenda toleo la hiari+ kwa Yehova.
13 Acheni kuleta ndani matoleo zaidi ya nafaka yasiyo na thamani.+ Uvumba—ni chukizo kwangu.+ Mwezi mpya+ na sabato,+ kuita mkusanyiko+—siwezi kuvumilia matumizi ya nguvu za uchawi+ pamoja na kusanyiko kuu.