Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 20:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Ndipo Daudi akamwambia Yonathani: “Tazama! Kesho ni mwezi mpya,+ nami lazima niketi pamoja na mfalme kwenye mlo; nawe uniache niende, nami nitajificha+ shambani mpaka jioni siku ya tatu.

  • Ezra 3:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na baadaye kulikuwa na toleo la kuteketezwa la daima+ na lile la miezi mipya+ na kwa ajili ya majira yote yaliyotakaswa ya sherehe+ za Yehova na kwa ajili ya kila mtu aliyetoa kwa kupenda toleo la hiari+ kwa Yehova.

  • Isaya 1:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Acheni kuleta ndani matoleo zaidi ya nafaka yasiyo na thamani.+ Uvumba—ni chukizo kwangu.+ Mwezi mpya+ na sabato,+ kuita mkusanyiko+—siwezi kuvumilia matumizi ya nguvu za uchawi+ pamoja na kusanyiko kuu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki