11 Naye Musa akaanza kuutuliza uso wa Yehova Mungu+ wake na kusema: “Kwa nini, Ee Yehova, hasira+ yako iwake juu ya watu wako ambao uliwatoa katika nchi ya Misri kwa nguvu kuu na kwa mkono wenye nguvu?
35 Mwishowe, karani wa jiji alipokuwa ameunyamazisha+ umati, akasema: “Watu wa Efeso, kwa kweli ni nani kati ya wanadamu ambaye hajui kwamba jiji la Efeso ndilo mtunza-hekalu wa Artemi mkuu na wa sanamu iliyoanguka kutoka mbinguni?