Kumbukumbu la Torati 9:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Nami nikajilaza kifudifudi mbele za Yehova, kama mara ya kwanza, siku 40, mchana na usiku. Sikula mkate wala kunywa maji,+ kwa sababu ya dhambi zenu zote mlizokuwa mmetenda kwa kutenda uovu machoni pa Yehova ili kumtia uchungu.+ Zaburi 106:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Naye alikuwa karibu kusema waangamizwe,+Isingalikuwa ni kwa sababu ya Musa mchaguliwa wake,Aliyesimama penye mwanya mbele zake,+Ili kuigeuza ghadhabu yake asiwaharibu.+
18 Nami nikajilaza kifudifudi mbele za Yehova, kama mara ya kwanza, siku 40, mchana na usiku. Sikula mkate wala kunywa maji,+ kwa sababu ya dhambi zenu zote mlizokuwa mmetenda kwa kutenda uovu machoni pa Yehova ili kumtia uchungu.+
23 Naye alikuwa karibu kusema waangamizwe,+Isingalikuwa ni kwa sababu ya Musa mchaguliwa wake,Aliyesimama penye mwanya mbele zake,+Ili kuigeuza ghadhabu yake asiwaharibu.+