Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 9:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Nami nikajilaza kifudifudi mbele za Yehova, kama mara ya kwanza, siku 40, mchana na usiku. Sikula mkate wala kunywa maji,+ kwa sababu ya dhambi zenu zote mlizokuwa mmetenda kwa kutenda uovu machoni pa Yehova ili kumtia uchungu.+

  • Zaburi 106:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Naye alikuwa karibu kusema waangamizwe,+

      Isingalikuwa ni kwa sababu ya Musa mchaguliwa wake,

      Aliyesimama penye mwanya mbele zake,+

      Ili kuigeuza ghadhabu yake asiwaharibu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki