Hesabu 3:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Leta kabila la Lawi+ karibu, nawe utawasimamisha mbele ya Haruni kuhani, nao watamhudumia.+ Hesabu 16:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 na kwamba amewaleta karibu ninyi na ndugu zenu wote wana wa Lawi? Basi, je, ni lazima pia ninyi mjaribu kunyakua ukuhani?+ 1 Mambo ya Nyakati 15:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ndipo Daudi aliposema: “Mtu yeyote asilibebe sanduku la Mungu wa kweli isipokuwa Walawi, kwa maana Yehova amewachagua hao ili walibebe sanduku la Yehova+ na kumhudumia+ mpaka wakati usio na kipimo.”
10 na kwamba amewaleta karibu ninyi na ndugu zenu wote wana wa Lawi? Basi, je, ni lazima pia ninyi mjaribu kunyakua ukuhani?+
2 Ndipo Daudi aliposema: “Mtu yeyote asilibebe sanduku la Mungu wa kweli isipokuwa Walawi, kwa maana Yehova amewachagua hao ili walibebe sanduku la Yehova+ na kumhudumia+ mpaka wakati usio na kipimo.”