Mambo ya Walawi 22:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 “Na ikiwa mtatoa dhabihu ya shukrani kwa Yehova,+ mtaitoa ili kupata kibali kwa ajili yenu. Zaburi 105:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 105 Mshukuruni Yehova, liitieni jina lake,+Yajulisheni matendo yake katikati ya vikundi vya watu.+ Wafilipi 4:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Msihangaike juu ya kitu chochote,+ bali katika kila jambo kwa sala na dua+ pamoja na kutoa shukrani maombi yenu na yajulishwe Mungu;+
6 Msihangaike juu ya kitu chochote,+ bali katika kila jambo kwa sala na dua+ pamoja na kutoa shukrani maombi yenu na yajulishwe Mungu;+