23 Pia mkate wa mviringo na keki ya mviringo ya mkate uliotiwa mafuta na mkate mwembamba kutoka katika kile kikapu cha keki zisizo na chachu kilicho mbele za Yehova.+
4 “‘Na ikiwa utatoa toleo la nafaka la kitu kilichookwa jikoni, kinapaswa kuwa cha unga laini, keki za mviringo+ zilizotiwa mafuta zisizo na chachu, au mkate mwembamba uliotiwa mafuta+ usio na chachu.+