26 Na kutoka katika kikapu cha keki zisizo na chachu kilichokuwa mbele za Yehova akachukua keki moja ya mviringo isiyo na chachu+ na keki moja ya mviringo ya mkate uliotiwa mafuta+ na mkate mmoja mwembamba.+ Halafu akaviweka juu ya vile vipande vyenye mafuta na ule mguu wa kuume.