Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 2:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “‘Na ikiwa utatoa toleo la nafaka la kitu kilichookwa jikoni, kinapaswa kuwa cha unga laini, keki za mviringo+ zilizotiwa mafuta zisizo na chachu, au mkate mwembamba uliotiwa mafuta+ usio na chachu.+

  • Mambo ya Walawi 7:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Ikiwa anaitoa ili kuonyesha shukrani,+ basi ataitoa pamoja na dhabihu ya shukrani ya keki za mviringo zisizo na chachu ambazo zimetiwa mafuta na mikate myembamba isiyo na chachu iliyopakwa mafuta+ na unga laini uliochanganywa vizuri ukiwa keki za mviringo zilizotiwa mafuta.

  • 1 Wakorintho 5:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Kwa hiyo na tufanye sherehe,+ si kwa chachu+ ya zamani, wala si kwa chachu+ ya ubaya na uovu,+ bali kwa keki zisizo na chachu za unyoofu na kweli.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki