Hesabu 26:58 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 58 Hizi ndizo zilizokuwa familia za Walawi: familia ya Walibni,+ familia ya Wahebroni,+ familia ya Wamali,+ familia ya Wamushi,+ familia ya Wakora.+ Na Kohathi+ akamzaa Amramu.+ 1 Mambo ya Nyakati 24:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Na wana wa Mushi walikuwa Mali+ na Ederi na Yerimothi.+ Hao ndio waliokuwa wana wa Walawi kulingana na nyumba za ukoo wa upande wa baba+ zao.
58 Hizi ndizo zilizokuwa familia za Walawi: familia ya Walibni,+ familia ya Wahebroni,+ familia ya Wamali,+ familia ya Wamushi,+ familia ya Wakora.+ Na Kohathi+ akamzaa Amramu.+
30 Na wana wa Mushi walikuwa Mali+ na Ederi na Yerimothi.+ Hao ndio waliokuwa wana wa Walawi kulingana na nyumba za ukoo wa upande wa baba+ zao.