Kutoka 6:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Na wana wa Kora walikuwa Asiri na Elkana na Abiasafu.+ Hizo ndizo zilizokuwa familia za Wakora.+ 1 Mambo ya Nyakati 6:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Na hawa ndio waliohudumu na pia wana wao: Wa wana wa Wakohathi Hemani+ mwimbaji, mwana wa Yoeli,+ mwana wa Samweli,+ 1 Mambo ya Nyakati 6:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 mwana wa Tahathi, mwana wa Asiri, mwana wa Ebiasafu,+ mwana wa Kora,+
33 Na hawa ndio waliohudumu na pia wana wao: Wa wana wa Wakohathi Hemani+ mwimbaji, mwana wa Yoeli,+ mwana wa Samweli,+