Hesabu 26:58 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 58 Hizi ndizo zilizokuwa familia za Walawi: familia ya Walibni,+ familia ya Wahebroni,+ familia ya Wamali,+ familia ya Wamushi,+ familia ya Wakora.+ Na Kohathi+ akamzaa Amramu.+ 1 Mambo ya Nyakati 9:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Na Shalumu mwana wa Kore mwana wa Ebiasafu+ mwana+ wa Kora+ na ndugu zake wa nyumba ya baba yake Wakora,+ juu ya kazi ya utumishi, watunza-milango+ ya hema, na baba zao juu ya kambi ya Yehova, watunzaji wa njia ya kuingilia.
58 Hizi ndizo zilizokuwa familia za Walawi: familia ya Walibni,+ familia ya Wahebroni,+ familia ya Wamali,+ familia ya Wamushi,+ familia ya Wakora.+ Na Kohathi+ akamzaa Amramu.+
19 Na Shalumu mwana wa Kore mwana wa Ebiasafu+ mwana+ wa Kora+ na ndugu zake wa nyumba ya baba yake Wakora,+ juu ya kazi ya utumishi, watunza-milango+ ya hema, na baba zao juu ya kambi ya Yehova, watunzaji wa njia ya kuingilia.