1 Mambo ya Nyakati 9:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Na Shalumu mwana wa Kore mwana wa Ebiasafu mwana wa Kora, na ndugu zake wa ukoo wake,* Wakora, walisimamia majukumu ya utumishi wa walinzi wa milango ya hema, na baba zao walikuwa wakisimamia kambi ya Yehova wakiwa walinzi wa njia ya kuingilia.
19 Na Shalumu mwana wa Kore mwana wa Ebiasafu mwana wa Kora, na ndugu zake wa ukoo wake,* Wakora, walisimamia majukumu ya utumishi wa walinzi wa milango ya hema, na baba zao walikuwa wakisimamia kambi ya Yehova wakiwa walinzi wa njia ya kuingilia.