Mambo ya Walawi 7:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “‘Na kila toleo la nafaka ambalo huenda likaokwa kwenye jiko+ na kila moja lililotayarishwa kwenye sufuria ya kukaangia+ na kwenye kiokeo+ ni la kuhani anayelitoa. Litakuwa lake.+
9 “‘Na kila toleo la nafaka ambalo huenda likaokwa kwenye jiko+ na kila moja lililotayarishwa kwenye sufuria ya kukaangia+ na kwenye kiokeo+ ni la kuhani anayelitoa. Litakuwa lake.+