21 Utatolewa pamoja na mafuta kwenye kiokeo.+ Utauleta ukiwa umechanganywa vizuri. Utatoa vitumbua vya toleo la nafaka vipande-vipande viwe harufu ya kumtuliza Yehova.
29 kwa ajili ya mkate wa tabaka+ na kwa ajili ya unga laini+ wa toleo la nafaka na kwa ajili ya mkate mwembamba+ usio na chachu+ na kwa ajili ya keki za kuoka+ na kwa ajili ya unga wa kukandwa uliochanganywa+ na kwa ajili ya vipimo vyote vya wingi na ukubwa;+