9 “‘Na kila toleo la nafaka ambalo huenda likaokwa kwenye jiko+ na kila moja lililotayarishwa kwenye sufuria ya kukaangia+ na kwenye kiokeo+ ni la kuhani anayelitoa. Litakuwa lake.+
29 kwa ajili ya mkate wa tabaka+ na kwa ajili ya unga laini+ wa toleo la nafaka na kwa ajili ya mkate mwembamba+ usio na chachu+ na kwa ajili ya keki za kuoka+ na kwa ajili ya unga wa kukandwa uliochanganywa+ na kwa ajili ya vipimo vyote vya wingi na ukubwa;+