Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 2:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “‘Na ikiwa toleo lako ni toleo la nafaka kutoka katika kiokeo,+ litakuwa la unga laini uliotiwa mafuta, usio na chachu.

  • Mambo ya Walawi 7:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “‘Na kila toleo la nafaka ambalo huenda likaokwa kwenye jiko+ na kila moja lililotayarishwa kwenye sufuria ya kukaangia+ na kwenye kiokeo+ ni la kuhani anayelitoa. Litakuwa lake.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 23:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 kwa ajili ya mkate wa tabaka+ na kwa ajili ya unga laini+ wa toleo la nafaka na kwa ajili ya mkate mwembamba+ usio na chachu+ na kwa ajili ya keki za kuoka+ na kwa ajili ya unga wa kukandwa uliochanganywa+ na kwa ajili ya vipimo vyote vya wingi na ukubwa;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki