-
2 Mambo ya Nyakati 8:14Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
14 Tena akaweka ile migawanyo+ ya makuhani juu ya utumishi wao kulingana na kanuni ya Daudi baba yake,+ na Walawi+ katika vituo vyao vya kazi, ili kusifu+ na kuhudumu+ mbele ya makuhani kama desturi ya kila siku,+ na watunza-malango katika migawanyo yao kwa ajili ya malango mbalimbali,+ kwa maana hivyo ndivyo ilivyokuwa amri ya Daudi mtu wa Mungu wa kweli.
-
-
2 Mambo ya Nyakati 31:2Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
2 Kisha Hezekia akaweka migawanyo+ ya makuhani na ya Walawi+ katika migawanyo yao, kila mmoja kulingana na utumishi wake kwa ajili ya makuhani+ na kwa ajili ya Walawi+ kuhusiana na toleo la kuteketezwa+ na dhabihu za ushirika+ ili kuhudumu+ na kutoa shukrani+ na sifa+ katika malango ya kambi za Yehova.
-