1 Mambo ya Nyakati 16:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ndipo akawaweka baadhi ya Walawi+ mbele ya sanduku la Yehova wawe wahudumu;+ ili wakumbushe+ na pia wamshukuru+ na kumsifu+ Yehova, Mungu wa Israeli, 1 Mambo ya Nyakati 23:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 na kwa ajili ya kusimama+ kila asubuhi+ ili kumshukuru+ na kumsifu+ Yehova, na wakati wa jioni vivyo hivyo;
4 Ndipo akawaweka baadhi ya Walawi+ mbele ya sanduku la Yehova wawe wahudumu;+ ili wakumbushe+ na pia wamshukuru+ na kumsifu+ Yehova, Mungu wa Israeli,
30 na kwa ajili ya kusimama+ kila asubuhi+ ili kumshukuru+ na kumsifu+ Yehova, na wakati wa jioni vivyo hivyo;