2 Kisha Hezekia akawaweka makuhani katika vikundi vyao+ na Walawi katika vikundi vyao,+ kila kuhani na Mlawi katika utumishi wake,+ kwa ajili ya dhabihu za kuteketezwa na dhabihu za ushirika, ili wahudumu na kushukuru na kusifu katika malango ya nyua za Yehova.+