-
2 Mambo ya Nyakati 8:14Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
14 Tena akaweka ile migawanyo+ ya makuhani juu ya utumishi wao kulingana na kanuni ya Daudi baba yake,+ na Walawi+ katika vituo vyao vya kazi, ili kusifu+ na kuhudumu+ mbele ya makuhani kama desturi ya kila siku,+ na watunza-malango katika migawanyo yao kwa ajili ya malango mbalimbali,+ kwa maana hivyo ndivyo ilivyokuwa amri ya Daudi mtu wa Mungu wa kweli.
-
-
2 Mambo ya Nyakati 23:8Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
8 Na wale Walawi na Yuda wote wakafanya kulingana na yote ambayo Yehoyada+ kuhani alikuwa ameamuru.+ Basi kila mmoja wao akachukua watu wake waliokuwa wakiingia wakati wa sabato pamoja na wale waliokuwa wakitoka nje wakati wa sabato,+ kwa kuwa Yehoyada kuhani hakuwa ameviachisha kazi vile vikundi vya migawanyo.+
-