8 Walawi na watu wote wa Yuda wakafanya sawasawa na alivyoamuru kuhani Yehoyada. Basi kila mmoja wao akachukua wanaume wake waliokuwa na zamu siku ya Sabato, pamoja na wale ambao hawakuwa na zamu siku ya Sabato,+ kwa maana kuhani Yehoyada hakuwa ameviruhusu vikundi+ vilivyoshika zamu viondoke.