11 Na ikawa kwamba makuhani walipoondoka mahali patakatifu (kwa maana makuhani wote waliopatikana walikuwa wamejitakasa+—hapakuwa na uhitaji wa kufuata ile migawanyo);+
5 Katika siku za Herode,+ mfalme wa Yudea, kulikuwa na kuhani aliyeitwa Zekaria wa mgawanyo wa Abiya,+ naye alikuwa na mke kutoka kwa binti za Haruni,+ na jina lake lilikuwa Elisabeti.