1 Mambo ya Nyakati 24:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Basi wana wa Haruni walikuwa na migawanyo yao. Wana wa Haruni walikuwa Nadabu+ na Abihu,+ Eleazari+ na Ithamari.+ 2 Mambo ya Nyakati 35:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na mfanye matayarisho kulingana na nyumba ya mababu+ zenu kufuatana na migawanyo+ yenu, kulingana na maandishi+ ya Daudi mfalme wa Israeli na kulingana na maandishi+ ya Sulemani mwana wake.
24 Basi wana wa Haruni walikuwa na migawanyo yao. Wana wa Haruni walikuwa Nadabu+ na Abihu,+ Eleazari+ na Ithamari.+
4 Na mfanye matayarisho kulingana na nyumba ya mababu+ zenu kufuatana na migawanyo+ yenu, kulingana na maandishi+ ya Daudi mfalme wa Israeli na kulingana na maandishi+ ya Sulemani mwana wake.